Recent Articles

Nafasi za Kazi d.light Tanzania 2025 | HR Officer (Arusha)

Filed in Ajira by on August 20, 2025 0 Comments
Nafasi za Kazi d.light Tanzania 2025 | HR Officer (Arusha)

Nafasi za Kazi d.light Tanzania 2025 | HR Officer (Arusha) Kampuni ya kimataifa ya nishati endelevu d.light Tanzania imetoa tangazo jipya la ajira kwa mwaka 2025. Kupitia Nafasi za Kazi d.light Tanzania 2025, kampuni inatafuta HR Officer mwenye uzoefu na weledi kujiunga na ofisi yake jijini Arusha. Hii ni nafasi ya kazi ya muda wote […]

Continue Reading »

Tangazo la Ajira Halmashauri ya Wilaya ya Wanging’ombe 2025 | Nafasi 23 za Kazi Serikalini

Filed in Ajira by on August 19, 2025 0 Comments
Tangazo la Ajira Halmashauri ya Wilaya ya Wanging’ombe 2025 | Nafasi 23 za Kazi Serikalini

Tangazo la Ajira Halmashauri ya Wilaya ya Wanging’ombe 2025 | Nafasi 23 za Kazi Serikalini Halmashauri ya Wilaya ya Wanging’ombe imetoa Tangazo la Ajira Halmashauri ya Wilaya ya Wanging’ombe 2025 likionyesha nafasi za kazi mpya kwa Watanzania. Kupitia kibali cha ajira kilichotolewa na Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, […]

Continue Reading »

NACTVET Yatangaza Matokeo ya Uhakiki 2025/2026 na Kufungua Awamu ya Pili ya Udahili

Filed in Elimu by on August 19, 2025 0 Comments
NACTVET Yatangaza Matokeo ya Uhakiki 2025/2026 na Kufungua Awamu ya Pili ya Udahili

NACTVET Yatangaza Matokeo ya Uhakiki 2025/2026 na Kufungua Awamu ya Pili ya Udahili. Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) limetoa rasmi matokeo ya uhakiki wa wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya ufundi na ufundi stadi kwa mwaka wa masomo 2025/2026. Taarifa hii imetolewa tarehe 14 Agosti 2025, na […]

Continue Reading »

MABADILIKO 5 MAKUBWA KATIKA TCU GUIDEBOOK 2024/2025 AMBAYO WENGI HAWAJUI

Filed in Elimu by on July 18, 2025 0 Comments
MABADILIKO 5 MAKUBWA KATIKA TCU GUIDEBOOK 2024/2025 AMBAYO WENGI HAWAJUI

MABADILIKO 5 MAKUBWA KATIKA TCU GUIDEBOOK 2024/2025 AMBAYO WENGI HAWAJUI Mwaka huu TCU (Tanzania Commission for Universities) imetoa mwongozo mpya wa kujiunga na vyuo vikuu (Guidebook 2024/2025), lakini kuna mabadiliko muhimu ambayo wengi hawajayagundua. Kama unajiandaa kuomba chuo, usiombe kabla hujasoma haya:   1. Kozi Zilizofutwa na Zilizoongezwa Baadhi ya kozi maarufu zimeondolewa kwenye baadhi […]

Continue Reading »

Jinsi Ya kupanga Chuo Bora

Filed in Uncategorized by on June 29, 2025 2 Comments
Jinsi Ya kupanga Chuo Bora

Jinsi Ya kupanga Chuo Bora Kila mwaka TCU (Tanzania Commission for Universities) huchapisha TCU Guidebook ili kuwaongoza wanafunzi wa kidato cha sita katika kuchagua vyuo na kozi wanazotaka. Lakini si kila mwanafunzi anaelewa namna bora ya kutumia guidebook hii kupanga chuo kilicho sahihi kwake. Katika makala hii, tunakupa mwongozo kamili wa kuchagua chuo bora kwa […]

Continue Reading »

Kozi zenye ushindani mkubwa 2025/2026

Filed in Elimu by on June 28, 2025 1 Comment
Kozi zenye ushindani mkubwa 2025/2026

Kozi zenye ushindani mkubwa 2025/2026 Wakati wa udahili wa vyuo vikuu kwa mwaka wa masomo 2025/2026 kuna kozi ambazo hupokea waombaji wengi zaidi kuliko nafasi zilizopo. Hizi ni kozi zenye ushindani mkali (highly competitive programmes) na kila mwaka wanafunzi wengi hukataliwa kwa sababu ya idadi kubwa ya maombi. Mfano wa Kozi Zenye Ushindani Mkubwa: Doctor […]

Continue Reading »

SIFA ZA MWOMBAJI WA CHUO KUPITIA TCU GUIDEBOOK 2025/2026

Filed in Elimu by on June 27, 2025 2 Comments
SIFA ZA MWOMBAJI WA CHUO KUPITIA TCU GUIDEBOOK 2025/2026

SIFA ZA MWOMBAJI WA CHUO KUPITIA TCU GUIDEBOOK 2025/2026 Kwa wanafunzi wa Kitanzania wanaotamani kujiunga na vyuo vikuu mwaka 2024/2025, ni muhimu kuelewa sifa zinazotakiwa kabla ya kutuma maombi kupitia TCU (Tanzania Commission for Universities). Mwongozo wa TCU (TCU Guidebook) hutumika kama dira kwa waombaji wote. Hapa chini ni sifa kuu unazopaswa kuwa nazo: 1. […]

Continue Reading »

Jinsi ya Kuchagua Kozi Sahihi Kupitia TCU Guidebook 2025/26

Filed in Uncategorized by on June 26, 2025 2 Comments
Jinsi ya Kuchagua Kozi Sahihi Kupitia TCU Guidebook 2025/26

Jinsi ya Kuchagua Kozi Sahihi Kupitia TCU Guidebook 2025/26 TCU Guidebook 2024/2025 ni nyenzo muhimu kwa wanafunzi wanaotaka kujiunga na vyuo vikuu Tanzania. Mwongozo huu si tu unataja orodha ya vyuo na kozi, bali pia unakusaidia kufanya uchaguzi sahihi wa kozi kulingana na ufaulu wako, malengo yako ya kazi, na vigezo vya udahili. Hatua 5 […]

Continue Reading »

Vyuo Vilivyosajiliwa Na TCU 2024/25

Filed in Elimu by on June 25, 2025 2 Comments
Vyuo Vilivyosajiliwa Na TCU 2024/25

Vyuo Vilivyosajiliwa Na TCU 2024/25 Unapojipanga kujiunga na elimu ya juu kwa mwaka wa masomo 2024/2025, hatua ya kwanza muhimu kabisa ni kuhakikisha unachagua vyuo vilivyosajiliwa na TCU 2024. Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) ndiyo taasisi pekee yenye mamlaka ya kusajili na kusimamia ubora wa vyuo vyote vya elimu ya juu nchini. Kwa mujibu […]

Continue Reading »

Faida Za Vyuo Vya Serikali

Filed in Elimu by on June 24, 2025 1 Comment
Faida Za Vyuo Vya Serikali

Faida Za Vyuo Vya Serikali Vyuo Vyote Si Sawa – Tofauti Ziko Kwenye Misingi Wanafunzi wengi wanapojaza fomu za udahili hujiuliza: “Nisome chuo cha serikali au binafsi?”Jibu sahihi lipo kwenye tathmini ya faida za vyuo vya serikali dhidi ya binafsi. Kama huna mdhamini wa kifedha au unategemea mkopo wa HESLB — basi chuo cha serikali […]

Continue Reading »