Gamondi Ateuliwa Kuwa Kocha Mkuu wa Al Nasr ya Libya
Gamondi Ateuliwa Kuwa Kocha Mkuu wa Al Nasr ya Libya | Miguel Ángel Gamondi amekubali rasmi nafasi ya ukocha wa Al Nasr, moja ya timu muhimu zaidi nchini Libya.
Gamondi amesaini mkataba utakaodumu hadi mwisho wa msimu wa 2024/2025, huku kukiwa na kipengele cha kuuongeza kwa mwaka mwingine kulingana na kiwango chake akiwa na timu.
Gamondi ambaye hivi karibuni alitumia muda wake nchini Tanzania, sasa anaanza safari mpya nchini Libya kwa lengo la kuiletea mafanikio Al Nasr.
Pendekezo La Mhariri:
- Pyramids Yapigwa Faini kwa Kadi 6 Dhidi ya Al Ahly
- Yanga Kuwauza Mzize na Azizi Ki Mwisho wa Msimu 2024/2025
- Fahamu Jinsi Mechi za Mtoano za UEFA zitakavyo Chezwa
- UEFA Champions League, Timu Zilizofuzu na Zinazosubiri Mchujo
- Niko Kovać Ateuliwa Kuwa Kocha Mpya wa Dortmund
- Al Nassr Mbioni Kukamilisha Usajili wa Victor Boniface