Msimamo Ligi ya Wanawake Tanzania Bara 2024/2025
Msimamo Ligi ya Wanawake Tanzania Bara 2024/2025 | Huu hapa ni msimamo wa Ligi ya Wanawake Tanzania Bara kwa mzunguko wa 11 wa msimu wa 2024/2025 Simba Queens Yaendelea Kung’ara:
Simba Queens wanaongoza msimamo wa ligi wakiwa na pointi 31 baada ya kucheza michezo 11 bila kufungwa hata mmoja. JKT Queens wapo nafasi ya pili wakiwa na pointi 26, wakifuatiwa na Yanga Princess na Mashujaa Queens wenye pointi 18 kila moja.
Mlandizi Queens wapo nafasi ya mwisho wakiwa na pointi 1 pekee baada ya mechi 11, na wanaweza kushuka daraja iwapo hawataboresha matokeo katika mechi zijazo.
Msimamo Ligi ya Wanawake Tanzania Bara 2024/2025
Nafasi | Timu | P | W | D | L | GF | GA | GD | PTS |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
1 | Simba Queens | 11 | 10 | 1 | 0 | 42 | 7 | 35 | 31 |
2 | JKT Queens | 10 | 8 | 2 | 0 | 32 | 3 | 29 | 26 |
3 | Yanga Princess | 10 | 5 | 3 | 2 | 19 | 8 | 11 | 18 |
4 | Mashujaa Queens | 11 | 5 | 3 | 3 | 20 | 10 | 10 | 18 |
5 | Alliance Girls | 11 | 3 | 2 | 6 | 15 | 23 | -8 | 11 |
6 | Fountain Gate Princess | 10 | 3 | 1 | 6 | 17 | 17 | 0 | 10 |
7 | Ceasiaa Queens | 9 | 3 | 1 | 5 | 10 | 23 | -13 | 10 |
8 | Gets Program | 7 | 2 | 1 | 4 | 9 | 14 | -5 | 9 |
9 | Bunda Queens | 10 | 1 | 3 | 6 | 7 | 19 | -12 | 6 |
10 | Mlandizi Queens | 11 | 0 | 1 | 10 | 5 | 52 | -47 | 1 |
Pendekezo La Mhariri: