Mongo Nkai
Mongo Nkai's Latest Posts
Robo Fainali Kombe la Shirikisho CAF, Timu Zipi Kufuzu Jumapili Hii
Robo Fainali Kombe la Shirikisho CAF, Timu Zipi Kufuzu Jumapili Hii | Timu zinapambana kufuzu Jumapili 19 Januari 2025. Ratiba ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho la CAF TotalEnergies inakamilika wikendi hii, huku mbio za kuwania kufuzu hatua ya mtoano zikihitimishwa Jumapili Januari 19, 2025. Hadi sasa, nafasi mbili za mwisho zimetolewa, kukamilisha mchakato […]
Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Afrika Itakamilika Wikendi hii
TIMU ZA Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Afrika Itakamilika Wikendi hii | Wikiendi hii hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika itaamuliwa. Wikendi hii kutakuwa na robo fainali ya Ligi ya Mabingwa ya CAF TotalEnergies Champions League msimu huu ikikamilika huku kinyang’anyiro hicho kikiingia katika hatua yake ya mwisho ya mechi za hatua […]
RATIBA ya Klabu Bingwa CAF, Mechi za Mwisho
RATIBA ya Klabu Bingwa CAF, Mechi za Mwisho Jumamosi na Jumapili | Katika makundi A na B, ni timu kama Young Africans (Yanga), MC Alger, Mamelodi Sundowns, na Raja Casablanca zinazoshindania nafasi ya kufuzu hatua inayofuata. Hizi ni timu ambazo zinapambana kwa bidii kuweza kupata tiketi ya kuingia robo fainali, huku kila mmoja akitaka kumaliza […]
Yanga na MC Alger Kutafuta Tiketi ya Robo Fainali CAF
Yanga na MC Alger Kutafuta Tiketi ya Robo Fainali CAF | Matumaini ya Robo Fainali Ya Klabu Bingwa Bado Yapo kwa Timu zote Mbili Hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa ya CAF TotalEnergies 2024 inakaribia kufikia tamati, na sasa macho yote yameelekezwa kwenye nafasi mbili zilizobaki za kutinga robo fainali. Kwa sasa, timu sita […]
Simba Kinara wa Penati Ligi Kuu Tanzania Bara 2024/25
Simba Kinara wa Penati Ligi Kuu Tanzania Bara 2024/25 | Ligi Kuu ya Tanzania Bara itarejea mapema Februari baada ya michuano ya CHAN 2024 kuahirishwa hadi Machi. Simba Kinara wa Penati Ligi Kuu Tanzania Bara 2024/25 Simba SC wanaongoza ligi kwa mikwaju ya penalti msimu wa 2024/25 hadi sasa, wakiwa wameambulia jumla ya penati 6, […]
Sebo Aomba Kujiunga na Pamba Jiji Badala ya Fountain Gate
Sebo Aomba Kujiunga na Pamba Jiji Badala ya Fountain Gate | Mlinzi Abdallah Sebo amekuja na maamuzi mapya ya kuhamia kwenye klabu ya Pamba Jiji FC, akiomba kujiunga nao kwa mkopo, badala ya Fountain Gate FC ambao walishakamilisha dili la kumchukua kwa mkopo kutoka Azam FC. Sebo Aomba Kujiunga na Pamba Jiji Badala ya Fountain […]
Usajili Pamba Jiji, Wachezaji Wapya Waliosajiliwa 2025
Usajili Pamba Jiji, Wachezaji Wapya Waliosajiliwa 2025 | Klabu ya Pamba Jiji imeongeza nguvu katika kikosi chake kwa kutambulisha wachezaji wapya ambao wataongeza ushindani na kuimarisha timu katika michuano ya msimu huu. Hadi sasa, wachezaji hawa ni sehemu ya mipango ya baadaye ya klabu hiyo: Shassir Nahimana – Burundi 🇧🇮 Mohamed Kamara – Sierra Leone […]
Wafungaji Bora CAF Kombe La Shirikisho Afrika 2024/2025
Wafungaji Bora CAF Kombe La Shirikisho Afrika 2024/2025 | Wachezaji Wenye Mabao Mengi Kombe la Shirikisho Afrika 2024/25 CAF | Hadi sasa, katika hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika, wachezaji kadhaa wameonyesha kiwango cha juu kwa kufunga mabao muhimu. Wafungaji Bora CAF Kombe La Shirikisho Afrika 2024/2025 Hapa ni orodha ya wachezaji […]
Wachezaji Wenye Mabao Mengi Kombe la Shirikisho Afrika 2024/25
Wachezaji Wenye Mabao Mengi Kombe la Shirikisho Afrika 2024/25 CAF | Hadi sasa, katika hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika, wachezaji kadhaa wameonyesha kiwango cha juu kwa kufunga mabao muhimu. Wachezaji Wenye Mabao Mengi Kombe la Shirikisho Afrika 2024/25 Hapa ni orodha ya wachezaji waliovutia wengi kwa mabao yao: Ismail Belkacemi (🇩🇿) […]
Azam Yaachana na Bangala na Sidibe, Bangala Ajiunga AS Vita
Azam Yaachana na Bangala na Sidibe, Bangala Ajiunga AS Vita | Azam FC imetangaza rasmi kuachana na nyota wake wawili, kiungo Yannick Bangala na beki wa kushoto, Cheikh Sidibe. Azam Yaachana na Bangala na Sidibe, Bangala Ajiunga AS Vita Bangala aliyejiunga na Azam akitokea Yanga SC, ameachana na klabu hiyo na kujiunga na klabu ya […]