Mongo Nkai
Mongo Nkai's Latest Posts
Mpole Ashinda Kesi Dhidi ya FC Lupopo, Kulipwa Dola 40000
Mpole Ashinda Kesi Dhidi ya FC Lupopo, Kulipwa Dola 40000 Mpole Ashinda Kesi Dhidi ya FC Lupopo, Kulipwa Dola 40000 | Mshambuliaji wa Pamba Jiji FC George Mpole ameshinda kesi dhidi ya timu yake ya zamani ya FC Lupopo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Mahakama imeamuru FC Lupopo kumlipa Mpole fidia ya dola 40,000 […]
Makundi ya CHAN 2024, Tanzania Katika Kundi B
Makundi ya CHAN 2024, Tanzania Katika Kundi B | Mechi za kufuzu Kombe la Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) 2024 zimepangwa katika vikundi mbalimbali, ambapo kila kundi linajumuisha timu kadhaa kutoka bara la Afrika zinazoshindania nafasi ya kushiriki katika mashindano haya muhimu. Makundi ya CHAN 2024, Tanzania Katika Kundi B Kundi A: […]
CAF Yazindua Nembo Mpya na Kombe Jipya la CHAN 2024
CAF Yazindua Nembo Mpya na Kombe Jipya la CHAN 2024 | Zikiwa zimesalia saa chache kabla ya droo ya mwisho ya michuano ya TotalEnergies CAF African Nations Championship (CHAN) Kenya, Tanzania, Uganda 2024 inayofanyika usiku wa kuamkia leo nchini Kenya, CAF imezindua nembo na kombe jipya la mashindano hayo. CAF Yazindua Nembo Mpya na Kombe […]
Yao Atakosa Mechi dhidi ya MC Alger, Maxi Arejea Mazoezini
Yao Atakosa Mechi dhidi ya MC Alger, Maxi Arejea Mazoezini | Beki wa kulia wa Yanga, Kouassi Attohoula Yao ataukosa mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) dhidi ya MC Alger Januari 18, 2025. Yao Atakosa Mechi dhidi ya MC Alger, Maxi Arejea Mazoezini Yao alifanyiwa upasuaji wa goti […]
Ali Kamwe Juu ya Mchezo Ujao Dhidi ya MC Alger
Ali Kamwe Juu ya Mchezo Ujao Dhidi ya MC Alger | Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Yanga, Ali Kamwe, ametoa taarifa kuhusu hali ya timu ya MC Alger, wapinzani wa Yanga katika hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Ali Kamwe Juu ya Mchezo Ujao Dhidi ya MC Alger Kamwe amesema […]
Jinsi ya Kushiriki Kampeni ya Simba, TUNAWAJIBIKA PAMOJA
Jinsi ya Kushiriki Kampeni ya Simba, TUNAWAJIBIKA PAMOJA | Klabu ya Simba Sc imezindua rasmi kampeni iliyopewa jina la TUNAWAJIBIKA PAMOJA kwa ajili ya mashabiki wake kuchangia kiasi cha fedha ili kulipa faini Tsh Milioni 100 waliyotozwa na Shirikisho la soka Afrika (CAF) kufuatia mashabiki wake kufanya fujo kwenye mchezo dhidi ya CS Sfaxien ambapo […]
Ligi Kuu Kurejea February na Sio Machi Tena
Ligi Kuu Kurejea February na Sio Machi Tena | Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza kurejea kwa Ligi kuu ya soka Tanzania Bara katika wiki ya kwanza ya mwezi Februari 2025 kwa michezo ya ‘viporo’ kabla ya kuendelea na michezo ya mzunguko wa 17 ambapo tarehe rasmi pamoja na ratiba iliyofanyiwa maboresho zitatangazwa hivi karibuni. […]
Aston Villa Wakamilisha Usajili wa Malen kutoka Borussia Dortmund
Aston Villa Wakamilisha Usajili wa Malen kutoka Borussia Dortmund | Aston Villa imemsajili mshambuliaji Donyell Malen kutoka Borussia Dortmund kwa ada ya awali ya £21m, ambayo inaweza kupanda hadi £27.7m kutokana na nyongeza zinazohusiana na utendaji. Aston Villa Wakamilisha Usajili wa Malen kutoka Borussia Dortmund Malen amefunga mabao matano katika mechi 20 za mashindano yote […]
CAF Yaahirishwa Kombe la Mataifa ya Afrika CHAN Hadi Agosti 2025
CAF Yaahirishwa Kombe la Mataifa ya Afrika CHAN Hadi Agosti 2025 | SHIRIKISHO la Soka barani Afrika (CAF) limetangaza kuahirisha michuano ya Mataifa ya Afrika (CHAN) iliyopangwa kufanyika mwaka 2024 hadi Agosti 2025. Hatua hii inafuatia ushauri wa Kamati ya Ufundi na Miundombinu ya CAF, ambayo imependekeza. kwamba muda zaidi unahitajika kwa nchi wenyeji – […]
Chelsea, Man City, na Graham Potter Waambulia Sare
Chelsea, Man City, na Graham Potter Waambulia Sare | Katika mechi za hivi karibuni za Ligi Kuu ya England, Chelsea walikosa nafasi ya kushinda nyumbani dhidi ya Bournemouth, huku Manchester City wakifungwa sare ya 2-2 ugenini dhidi ya Brentford. Chelsea, Man City, na Graham Potter Waambulia Sare Hali ilikuwa tofauti kwa Graham Potter, ambaye alifungua […]