Recent Articles

Ratiba ya CRDB Bank Federation Cup 2024/2025

Filed in Michezo Bongo by on February 7, 2025 0 Comments
Ratiba ya CRDB Bank Federation Cup 2024/2025

Ratiba ya CRDB Bank Federation Cup 2024/2025 | Ratiba ya Mechi za Kombe la Shirikisho la CRDB 2024/2025 Ratiba ya CRDB Bank Federation Cup 2024/2025 Hizi ndio mechi za hatua ya 32 ya michuano ya CRDB Federation Cup zitakazochezwa kuanzia mwanzoni mwa mwezi Machi 2025. Cosmopolitan vs KMC FC Mbeya Kwanza vs Mambali Ushirikiano Tanzania […]

Continue Reading »

Ramos Ajiunga na Monterrey ya Mexico kwa Uhamisho Huru

Filed in Michezo Bongo by on February 7, 2025 0 Comments
Ramos Ajiunga na Monterrey ya Mexico kwa Uhamisho Huru

Ramos Ajiunga na Monterrey ya Mexico kwa Uhamisho Huru | Nyota wa zamani wa Real Madrid na Uhispania Sergio Ramos amejiunga na klabu ya Mexico ya Monterrey kwa uhamisho wa bure. Ramos Ajiunga na Monterrey ya Mexico kwa Uhamisho Huru Ramos (38), ambaye alishinda Kombe la Dunia la 2010 akiwa na Uhispania, amekuwa mchezaji huru […]

Continue Reading »

FIFA Yaifungia Congo Brazzaville Kushiriki Mashindano Yote ya Soka

Filed in Michezo Bongo by on February 7, 2025 0 Comments
FIFA Yaifungia Congo Brazzaville Kushiriki Mashindano Yote ya Soka

FIFA Yaifungia Congo Brazzaville Kushiriki Mashindano Yote ya Soka | SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (FIFA) limetangaza kufungiwa kwa Shirikisho la Soka la Kongo Brazzaville (FECOFOOT), ikimaanisha kuwa timu ya taifa ya Kongo na vilabu vyake vimepigwa marufuku kushiriki mashindano ya kimataifa hadi itakapotangazwa tena. FIFA Yaifungia Congo Brazzaville Kushiriki Mashindano Yote ya Soka Kwa […]

Continue Reading »

Liverpool Yatinga Fainali ya Carabao Cup Yaichapa Tottenham 4-0

Filed in Michezo Bongo by on February 7, 2025 0 Comments
Liverpool Yatinga Fainali ya Carabao Cup Yaichapa Tottenham 4-0

Liverpool Yatinga Fainali ya Carabao Cup Yaichapa Tottenham 4-0 | Liverpool wamefuzu kwa fainali ya Kombe la Carabao (EFL Cup) baada ya kupata ushindi mnono wa mabao 4-0 dhidi ya Tottenham katika mchezo wa mkondo wa pili wa nusu fainali, hivyo kusonga mbele kwa ushindi wa jumla wa mabao 4-1. Liverpool Yatinga Fainali ya Carabao […]

Continue Reading »

FIFA Yasimamisha Shirikisho la Soka la Pakistani PFF Kwa Mara Nyingine

Filed in Michezo Bongo by on February 7, 2025 0 Comments
FIFA Yasimamisha Shirikisho la Soka la Pakistani PFF Kwa Mara Nyingine

FIFA Yasimamisha Shirikisho la Soka la Pakistani PFF Kwa Mara Nyingine | Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limesimamisha tena Shirikisho la Soka la Pakistani (PFF) baada ya bunge la PFF kushindwa kupitisha marekebisho yaliyopendekezwa na FIFA kwenye katiba ya shirikisho hilo. FIFA Yasimamisha Shirikisho la Soka la Pakistani PFF Kwa Mara Nyingine Kwa mujibu wa […]

Continue Reading »

Twiga Stars vs Equatorial Guinea Kufuzu WAFCON 2026

Filed in Michezo Bongo by on February 6, 2025 0 Comments
Twiga Stars vs Equatorial Guinea Kufuzu WAFCON 2026

Twiga Stars vs Equatorial Guinea Kufuzu WAFCON 2026 | Timu ya taifa ya soka ya wanawake ya Tanzania, Twiga Stars, itamenyana na Equatorial Guinea katika mchezo wa kuwania kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika kwa wanawake (WAFCON) 2026 Mechi hizo mbili za awamu hii zitachezwa kwa tarehe tofauti jambo ambalo lina umuhimu mkubwa kwa Twiga […]

Continue Reading »

Marcelo Atangaza Kustaafu Soka Akiwa na Umri wa Miaka 36

Filed in Michezo Bongo by on February 6, 2025 0 Comments
Marcelo Atangaza Kustaafu Soka Akiwa na Umri wa Miaka 36

Marcelo Atangaza Kustaafu Soka Akiwa na Umri wa Miaka 36 | Nyota wa zamani wa Real Madrid, Marcelo Vieira da Silva JĂșnior, maarufu kama Marcelo, ametangaza rasmi kustaafu soka la kulipwa akiwa na umri wa miaka 36. Marcelo Atangaza Kustaafu Soka Akiwa na Umri wa Miaka 36 Kupitia ujumbe wake kwenye mitandao ya kijamii, Marcelo […]

Continue Reading »

Simba Yazuiwa na Fountain Gate, Mechi Yaisha Kwa Sare Babati

Filed in Michezo Bongo by on February 6, 2025 0 Comments
Simba Yazuiwa na Fountain Gate, Mechi Yaisha Kwa Sare Babati

Simba Yazuiwa na Fountain Gate, Mechi Yaisha Kwa Sare Babati | Simba SC imekutana na matokeo yasiyoridhisha baada ya kutoka sare ya bao 1-1 dhidi ya Fountain Gate FC kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa, Babati. Mechi hiyo ilikuwa na upinzani mkali na wenyeji walimaliza wakiwa na wachezaji 10 baada ya mlinda mlango wao, John Noble, […]

Continue Reading »

Scorchers ya Malawi Yafuzu Raundi ya Pili ya Kufuzu WAFCON 2026 Bila Kucheza

Filed in Michezo Mambele by on February 6, 2025 0 Comments
Scorchers ya Malawi Yafuzu Raundi ya Pili ya Kufuzu WAFCON 2026 Bila Kucheza

Scorchers ya Malawi Yafuzu Raundi ya Pili ya Kufuzu WAFCON 2026 Bila Kucheza | Timu ya Taifa ya Wanawake ya Malawi, maarufu kwa jina la The Scorchers, imefanikiwa kufuzu moja kwa moja kwa awamu inayofuata ya kufuzu kwa Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026. Haya yanajiri baada ya Timu ya Taifa ya […]

Continue Reading »

US Monastir Yamtangaza Faouzi Benzarti Kama Kocha Mpya

Filed in Michezo Bongo by on February 6, 2025 0 Comments
US Monastir Yamtangaza Faouzi Benzarti Kama Kocha Mpya

US Monastir Yamtangaza Faouzi Benzarti Kama Kocha Mpya | US Monastir imetangaza rasmi kumteua Faouzi Benzarti raia wa Tunisia kuwa kocha mpya wa timu hiyo. US Monastir Yamtangaza Faouzi Benzarti Kama Kocha Mpya Benzarti, ambaye ana uzoefu mkubwa wa soka, anajiunga na klabu kuchukua nafasi ya Mohamed Sahli, ambaye alitimuliwa Februari 4, 2025. Kocha Faouzi […]

Continue Reading »