Recent Articles

Yanga Yazidi Kujikita Kileleni Baada ya Ushindi Dhidi ya Singida Black Stars

Filed in Michezo Bongo by on February 17, 2025 0 Comments
Yanga Yazidi Kujikita Kileleni Baada ya Ushindi Dhidi ya Singida Black Stars

Yanga Yazidi Kujikita Kileleni Baada ya Ushindi Dhidi ya Singida Black Stars | Yanga SC imeendelea kujiimarisha kileleni mwa Ligi Kuu Tanzania Bara (NBC Premier League) baada ya kupata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Singida Black Stars katika mchezo uliopigwa kwenye Uwanja wa KMC Complex. Yanga Yazidi Kujikita Kileleni Baada ya Ushindi Dhidi ya […]

Continue Reading »

Ruben Amorim Akiri Ugumu Man U Baada ya Kupoteza Dhidi ya Tottenham

Filed in Michezo Mambele by on February 17, 2025 0 Comments
Ruben Amorim Akiri Ugumu Man U Baada ya Kupoteza Dhidi ya Tottenham

Ruben Amorim Akiri Ugumu Man U Baada ya Kupoteza Dhidi ya Tottenham | Meneja wa Manchester United Ruben Amorim amesema kibarua chake katika klabu hiyo ni “kigumu sana” kufuatia kipigo cha 1-0 kutoka kwa Tottenham Hotspur kwenye Ligi ya Premia. Ruben Amorim Akiri Ugumu Man U Baada ya Kupoteza Dhidi ya Tottenham Tottenham iliifunga Manchester […]

Continue Reading »

Ratiba ya Raundi ya Nne ya CRDB Federation Cup 2025

Filed in Michezo Bongo by on February 17, 2025 0 Comments
Ratiba ya Raundi ya Nne ya CRDB Federation Cup 2025

Ratiba ya Raundi ya Nne ya CRDB Federation Cup 2025 Kombe la Shirikisho la CRDB Tanzania Bara. Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetoa ratiba rasmi ya raundi ya nne ya Kombe la Shirikisho Tanzania Bara (CRDB federation cup). Mechi hizi zitachezwa kuanzia tarehe 2 Machi 2025 hadi 12 Machi 2025, huku mashabiki wakitarajia burudani kali […]

Continue Reading »

Robertinho Aomba Nafasi ya Kuifundisha Timu ya Taifa ya Rwanda

Filed in Michezo Bongo by on February 17, 2025 0 Comments
Robertinho Aomba Nafasi ya Kuifundisha Timu ya Taifa ya Rwanda

Robertinho Aomba Nafasi ya Kuifundisha Timu ya Taifa ya Rwanda | KOCHA Mbrazil, Roberto Oliveira Gonçalves do Carmo ‘Robertinho’ ametangaza kutamani kupata nafasi ya kuifundisha timu ya taifa ya Rwanda, huku akieleza dhamira yake ya kulisaidia taifa hilo kufuzu kwa Kombe la Dunia. Robertinho Aomba Nafasi ya Kuifundisha Timu ya Taifa ya Rwanda Robertinho ni […]

Continue Reading »

Salah Aendeleza Ubabe, Liverpool Yaichapa Wolves 2-1

Filed in Michezo Mambele by on February 17, 2025 0 Comments
Salah Aendeleza Ubabe, Liverpool Yaichapa Wolves 2-1

Salah Aendelea Kung’ara/Salah Aendeleza Ubabe, Liverpool Yaichapa Wolves 2-1 | Mohamed Salah alibaki tegemeo la Liverpool baada ya kufunga bao lake la 23 msimu huu huku Wekundu hao wakitoka nyuma na kuwalaza Wolves 2-1 Uwanja wa Anfield. Ushindi huo uliwaweka imara kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu. Salah Aendeleza Ubabe, Liverpool Yaichapa Wolves 2-1 Matokeo […]

Continue Reading »

Zamalek Yamtangaza José Peseiro Kuwa Kocha Mkuu Mpya

Filed in Michezo Bongo by on February 17, 2025 0 Comments
Zamalek Yamtangaza José Peseiro Kuwa Kocha Mkuu Mpya

Zamalek Yamtangaza José Peseiro Kuwa Kocha Mkuu Mpya | Klabu ya Zamalek SC ya Misri imetangaza rasmi kumteua Jose Peseiro kuwa kocha mpya wa timu hiyo akichukua nafasi ya Christian Gross. Zamalek Yamtangaza José Peseiro Kuwa Kocha Mkuu Mpya Kocha huyo raia wa Ureno amesaini mkataba wa miezi 18 na ni mara yake ya pili […]

Continue Reading »

Simba Yatinga Ruangwa Bila Balua, Mzamiru na Chamou Karabou

Filed in Michezo Bongo by on February 17, 2025 0 Comments
Simba Yatinga Ruangwa Bila Balua, Mzamiru na Chamou Karabou

Simba Yatinga Ruangwa Bila Balua, Mzamiru na Chamou Karabou | Simba SC imeondoka jijini Dar es Salaam kwenda Ruangwa kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Namungo FC, lakini baadhi ya wachezaji muhimu hawajasafiri na timu. Simba Yatinga Ruangwa Bila Balua, Mzamiru na Chamou Karabou Wachezaji walioachwa Dar es Salaam […]

Continue Reading »

Kikosi cha Simba Kuelekea Ruangwa kwa Mchezo Dhidi ya Namungo

Filed in Michezo Bongo by on February 17, 2025 0 Comments
Kikosi cha Simba Kuelekea Ruangwa kwa Mchezo Dhidi ya Namungo

Kikosi cha Simba Kuelekea Ruangwa kwa Mchezo Dhidi ya Namungo | Dar es Salaam, Tanzania – Klabu ya Simba SC inatarajiwa kuondoka jijini Dar es Salaam leo Jumatatu, kuelekea Ruangwa kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Namungo FC. Kikosi cha Simba Kuelekea Ruangwa kwa Mchezo Dhidi ya Namungo Mechi […]

Continue Reading »

Ratiba ya Simba Kombe la Shirikisho CAF 2024-2025

Filed in Michezo Bongo by on February 17, 2025 0 Comments
Ratiba ya Simba Kombe la Shirikisho CAF 2024-2025

Ratiba ya Simba Kombe la Shirikisho CAF 2024-2025 | Kombe la Shirikisho 2024/2025: Baada ya kumaliza msimu wa 2023/2024 kwa matokeo mabaya ambayo yamewanyima tiketi ya kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika, safari ya Simba SC katika Kombe la Shirikisho Afrika imetangazwa rasmi. CAF imetangaza ratiba ya michuano ya Kombe la Shirikisho 2024/25, na Simba SC […]

Continue Reading »

Prince Dube Rekodi ya Mabao Katika Ligi Kuu ya NBC Tanzania

Filed in Michezo Bongo by on February 15, 2025 0 Comments
Prince Dube Rekodi ya Mabao Katika Ligi Kuu ya NBC Tanzania

Prince Dube Rekodi ya Mabao Katika Ligi Kuu ya NBC Tanzania | Prince Dube, mshambuliaji mahiri wa Zimbabwe 🇿🇼, ameendelea kung’ara kwenye Ligi Kuu ya NBC Tanzania 🇹🇿 tangu ajiunge na Azam FC. Katika misimu yake kadhaa nchini Tanzania, Dube ameonyesha uwezo mkubwa wa kufunga mabao, licha ya kukabiliwa na matatizo ya majeraha. Prince Dube […]

Continue Reading »