Pyramids Yapigwa Faini kwa Kadi 6 Dhidi ya Al Ahly

Filed in Michezo Mambele by on January 30, 2025 0 Comments

Pyramids Yapigwa Faini kwa Kadi 6 Dhidi ya Al Ahly | Faini ya Pauni 50,000

Pyramids Yapigwa Faini kwa Kadi 6 Dhidi ya Al Ahly

Pyramids FC imepata pigo baada ya kutozwa faini ya pauni 50,000 za Misri kwa utovu wa nidhamu wakati wa sare ya 2-2 na Al Ahly. Adhabu hiyo imekuja baada ya timu hiyo kupata jumla ya kadi 6 katika mchezo huo zikiwemo:

Pyramids Yapigwa Faini kwa Kadi 6 Dhidi ya Al Ahly

5 kadi za njano
1 kadi nyekundu

Utovu huo wa nidhamu umeiweka Pyramids FC katika wakati mgumu, ikikabiliwa na ukosoaji kutoka kwa mashabiki na viongozi wa ligi.

Pendekezo La Mhariri:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *