Ratiba ya Mechi za Tanzania AFCON 2025 Nchini Morocco

Filed in Michezo Bongo by on January 29, 2025 0 Comments

Ratiba ya Mechi za Tanzania AFCON 2025 Nchini Morocco | Ratiba ya mechi za Tanzania (Taifa Stars) katika Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 imewekwa wazi, ambapo timu ya Taifa itakutana na baadhi ya timu kubwa barani Afrika, ikiwa ni sehemu ya michuano ya kihistoria itakayofanyika nchini Morocco.

Ratiba ya Mechi za Tanzania AFCON 2025 Nchini Morocco

Ratiba ya Mechi za Tanzania AFCON 2025 Nchini Morocco

Ratiba ya Mechi za Tanzania AFCON 2025 Nchini Morocco

Ratiba ya Mechi za Tanzania (AFCON 2025):

  1. Nigeria πŸ‡³πŸ‡¬ vs Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ
    • πŸ—“οΈ Disemba 23, 2025
    • 🏟️ Fez Stadium
  2. Uganda πŸ‡ΊπŸ‡¬ vs Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ
    • πŸ—“οΈ Disemba 27, 2025
    • 🏟️ Al Barid Stadium
  3. Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ vs Tunisia πŸ‡ΉπŸ‡³
    • πŸ—“οΈ Disemba 30, 2025
    • 🏟️ Prince Moulay Stadium

Tanzania itacheza katika Kundi C, ambalo ni gumu, pamoja na timu za Nigeria, Tunisia, na Uganda. Mechi hizi zitakuwa na mvuto mkubwa, huku mashabiki wakiwa na matumaini makubwa kwa Taifa Stars kufanya vyema kwenye michuano hii.

Matokeo ya Mechi za Mwisho za Tanzania dhidi ya Timu za Kundi C:

  • 2023: Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ 0-1 Uganda πŸ‡ΊπŸ‡¬
  • 2020: Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ 1-1 Tunisia πŸ‡ΉπŸ‡³
  • 2016: Nigeria πŸ‡³πŸ‡¬ 1-0 Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ

Mechi hizi za zamani zinatoa picha ya ushindani kati ya Tanzania na mataifa haya, huku mechi dhidi ya Uganda ikionesha kuwa ni changamoto kubwa kutokana na ushindani wa kihistoria kati ya mataifa haya mawili.

Pendekezo La Mhariri:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *