Ratiba ya Mechi za Wiki ya 18 Ligi Kuu NBC 2024/25

Filed in Michezo Bongo by on February 10, 2025 0 Comments

Ratiba ya Mechi za Wiki ya 18 Ligi Kuu NBC 2024/25 | Ratiba ya Wiki ya 18 ya Ligi Kuu ya NBC 2024/25 inaonyesha mechi mbalimbali zitakazochezwa kati ya Februari 9 na 11, 2025, kwenye viwanja tofauti nchini Tanzania.

Ratiba ya Mechi za Wiki ya 18 Ligi Kuu NBC 2024/25

Ratiba ya Mechi za Wiki ya 18 Ligi Kuu NBC 2024/25

Ratiba ya Mechi za Wiki ya 18 Ligi Kuu NBC 2024/25

Ratiba kamili ni kama ifuatavyo:

  1. Pamba Jiji vs Azam FC
    Tarehe: Februari 9, 2025
    Saa: 16:00
    Uwanja: CCM Kirumba – Mwanza
  2. Namungo FC vs Dodoma Jiji
    Tarehe: Februari 9, 2025
    Saa: 19:00
    Uwanja: Majaliwa Stadium – Lindi
  3. Kengold FC vs Fountain Gate
    Tarehe: Februari 10, 2025
    Saa: 14:00
    Uwanja: Sokoine Stadium – Mbeya
  4. KMC FC vs Singida BS
    Tarehe: Februari 10, 2025
    Saa: 16:15
    Uwanja: KMC Complex – Dar es Salaam
  5. JKT Tanzania vs Young Africans (Yanga SC)
    Tarehe: Februari 10, 2025
    Saa: 16:15
    Uwanja: Meja Jenerali Isamuhyo – Dar es Salaam
  6. Mashujaa FC vs Coastal Union
    Tarehe: Februari 11, 2025
    Saa: 16:00
    Uwanja: Lake Tanganyika – Kigoma
  7. Simba SC vs Tanzania Prisons
    Tarehe: Februari 11, 2025
    Saa: 16:00
    Uwanja: KMC Complex – Dar es Salaam
  8. Kagera Sugar vs Tabora United
    Tarehe: Februari 11, 2025
    Saa: 19:00
    Uwanja: Kaitaba Stadium – Kagera

Pendekezo la Mhariri:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *