Real Nakonde Yachelewa, KenGold Yacheza na Football Family
Real Nakonde Yachelewa, KenGold Yacheza na Football Family | Timu ya Real Nakonde FC ya Zambia ilichelewa kufika kwenye Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya wakati mchezo wa kirafiki kati ya KenGold SC na Football Family ukiendelea.
Mechi hii iliyotarajiwa kuwa ya kusisimua kutokana na uwepo wa Real Nakonde FC ilichelewa kutokana na timu ya Zambia kuchelewa kufika uwanjani.
#MakarashaDay: Tazama kikosi cha Real Nakonde FC kilivyoingia katka dimba la Sokoine Mbeya wakati ambao mechi kati ya KenGold dhidi ya Football Family ilikuwa inaendelea.
Klabu ya soka ya Real Nakonde kutoka Zambia ndio ilitakiwa kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya KenGold lakini… pic.twitter.com/CKqpIB0zrL
— Azam TV (@azamtvtz) January 29, 2025
Hata hivyo, KenGold SC ilicheza mechi ya ligi dhidi ya Football Family ambapo matokeo ya mwisho yalikuwa 0-0. Ilikuwa ni mechi ambayo mabao yalikosekana lakini ilionyesha mshikamano wa timu zote mbili uwanjani.
Timu ya Real Nakonde FC ilipangiwa kucheza mechi ya kirafiki na KenGold lakini kutokana na kuchelewa kwao, haikufanyika ilivyopangwa.
Pendekezo La Mhariri: