Simba Yafuzu Robo Fainali Kombe la Shirikisho CAF

Filed in Michezo Bongo by on January 12, 2025 0 Comments

Simba Yafuzu Robo Fainali Kombe la Shirikisho CAF

Simba Yafuzu Robo Fainali Kombe la Shirikisho CAF | Wawakilishi wa Tanzania kwenye kombe la Shirikisho Afrika, Simba Sc imetinga hatua ya robo fainali ya michuano hiyo kufuatia sare ya 1-1 dhidi ya wenyeji Bravos do Marquis ya Angola katika dimba la Estádio Da Tundavala kwenye mchezo wa raundi ya tano wa Kundi A.

Bravos 🇦🇴 1-1 🇹🇿 Simba SC
⚽ 13’ Abednego
⚽ 69’ Ateba

FT: CS Constantine 🇩🇿 2-0 🇹🇳 CS Sfaxien

Simba Yafuzu Robo Fainali Kombe la Shirikisho CAF

Simba Yafuzu Robo Fainali Kombe la Shirikisho CAF

MSIMAMO KUNDI A

1. 🇩🇿 Constantine— mechi 5—pointi 12
2. 🇹🇿 Simba Sc — mechi 5—pointi 10
3. 3. 🇦🇴 Bravos — mechi 5—pointi 7
4. 🇹🇳 CS Sfaxien — mechi 5—pointi 🅾️

Kwenye CAF timu zikilingana pointi Sheria ya ‘tie breaker’ inaangalia matokeo baina ya timu hizo (head to head) kwanza.

Kwa maana hiyo kwa kuwa Simba Sc iliifunga Bravos na kutoka nayo sare kwenye marudiano, hivyo tayari ameondoshwa kwenye michuano hata kama Simba Sc itapoteza kwa idadi yoyote ya magoli kwenye mechi ya mwisho.

Pendekezo La Mhariri:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *